Tangu kuingia kwa Internet Tanzania na Dunia nzima, Biashara nyingi zimepata namna ya kujitangaza kwa kufikia wateja wao kwa urahisi, pia biashara mpya zimejitokeza kama wauzaji wa bidhaa mbali mbali wasio na maduka bali huuza kupitia njia ya mtandao. Kampuni za simu, Kampuni za mawasiliano, Bloggers ni moja ya mifano ya kampuni zilizofaidika kutokana na […] More
Soma Zaidi : X-TOK : Biashara Zitaendaje Endapo Internet Itazimika.?