Kama wewe ni mfuatiliaji wa Tanzania Tech basi najua unajua kuwa Tunamiliki app inayoitwa Cheka Point, App hii inaruhusu kupakia video fupi za kuchekesha ambapo pia utapokea Cheka point ambazo unaweza kubadilisha na kuwa salio la kawaida la simu au Pesa taslimu kupitia akaunti zako za M-Pesa na Tigo Pesa. Hivi karibuni tumeboresha app hiyo […] More
Soma Zaidi : Mabadiliko Toleo Jipya la App ya Cheka Point (Android)