Wakati bado asilimia kubwa ya watanzania wakiwa wanatumia mfumo wa Windows 7 kwenye kompyuta zao, hapo kesho mfumo huo unaenda kusitishwa rasmi na kampuni ya Microsoft kama ilivyo tangazwa hapo mwaka jana 2019. Kwa mujibu wa Microsoft, mfumo wa Windows 7 utasitishwa kupewa update mbalimbali za kawaida pamoja na update za ulinzi ambazo zimekuwa zikipakiwa […] More
Soma Zaidi : Windows 7 Kusitishwa Rasmi Kesho Tarehe 14 (2020)