Jumatatu, 24 Februari 2020

Kampuni ya Huawei Yazindua Simu Mpya ya Huawei Mate Xs

Kupitia mkutano wa MWC mwaka 2019, kampuni ya Huawei ilitangaza kwa mara ya kwanza simu yake mpya inayojikunja ya Huawei Mate X, kutokana na kuahirishwa kwa mkutano wa MWC mwaka huu 2020 kutokana na virusi vya corona, kampuni ya Huawei imetangaza leo imetangaza simu yako mpya ya Huawei Mate Xs bila kuwepo kwa mkutano maalum. […] More

Soma Zaidi : Kampuni ya Huawei Yazindua Simu Mpya ya Huawei Mate Xs