Hapo siku ya jana, watumiaji wa mtandao wa Vodacom Tanzania walikumbwa na tatizo la kushindwa kutumia internet kwenye simu zako kwa siku nzima kutokana na tatizo la mtandao huo kushindwa kupata mawasiliano ya internet. Kwa mujibu wa tovuti ya The Citizen, inasemekana kuwa Mkurugenzi wa Masuala ya Kampuni ya Vodacom, Rosalynn Mworia alisema kuwa huduma […] More
Soma Zaidi : Sababu za Kukatika Kwa Internet ya Vodacom Jumapili Feb 23