Watafiti kutoka chuo cha MIT hivi karibuni wamegundua sensor ndogo inayoitwa RFID ambayo inao uwezo wa kugundua unyevu unyevu kwenye nepi ya mtoto. Sensor hiyo ndogo inao uwezo wa kutuma mawimbi ya mawasiliano (signal) kwenye kipokezi au receive iliyopo karibu na hivyo inaweza kumpa taarifa mzazi pale nepi ya mtoto inapokuwa chafu. Kwa mujibu wa […] More
Soma Zaidi : MIT Yaja na Nepi ya Kidigitali Inayotoa Taarifa Ikiwa Imechafuka