Kampuni ya Tecno inategemea kuanza mwaka 2020 kwa simu mpya ambayo inasamekana kuzinduliwa rasmi Februari 20. Kwa mujibu wa tetesi mbalimbali mtandaoni, kampuni ya Tecno inatarajia kuzindua Tecno Camon 15 simu mpya inayosemekana kuja na teknolojia mpya ya kamera. Mbali na kamera tetesi zinasema kuwa simu hiyo inatarajiwa kuja na muundo mpya kabisa huku pia […] More
Soma Zaidi : Tecno Kuzindua Simu Mpya ya Camon 15 Tarehe 20 February