Kabla ya Samsung kuingiza sokoni simu zake mpya za daraja la juu za Samsung Galaxy S20, hapo jana kampuni hiyo imetangaza ujio wa simu yake mpya ya bei rahisi ya Galaxy A01. Kama wewe ni mfuatiliaji wa tovuti ya Tanzania Tech, uta gundua kuwa simu hii ilitangazwa ujio wake toka mwaka 2019 mwezi November na […] More
Soma Zaidi : Samsung Yazindua Simu Mpya ya Bei Rahisi ya Galaxy A01