Jumanne, 4 Februari 2020

YouTube Imeingiza Zaidi ya Bilioni 15 za Marekani (2019)

YouTube Imeingiza Zaidi ya Bilioni 15 za Marekani (2019)

Kwa mara ya kwanza kabisa tangu kampuni ya Google ilipo nunua mtandao wa YouTube mwaka 2006 ikiwa ni zaidi ya miaka 14 iliyopita, hivi leo kampuni hiyo kwa mara ya kwanza imetengeza mapato ya mtandao wa YouTube kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita yaani January 2019 hadi December 2019. Kwa mujibu wa ripoti hiyo kutoka […] More

Soma Zaidi : YouTube Imeingiza Zaidi ya Bilioni 15 za Marekani (2019)