Jumanne, 17 Machi 2020

Airtel Kenya Yaondoa Gharama Zote za Kutuma Pesa

Kutokana na kuendelea kusambaa kwa virusi vya corona (CODIV-19), kampuni ya kutoa huduma za mawasiliano ya Airtel ya nchini Kenya, imetangaza kuondoa gharama za kutuma pesa kwa watumiaji wa Airtel Money nchini humo. Hatua hii inakuja siku chache baada ya Raisi wa Kenya, Uhuru Kenyatta, kutangaza kuwa kampuni za simu na mabenki nchini Kenya kuangalia […] More

Soma Zaidi : Airtel Kenya Yaondoa Gharama Zote za Kutuma Pesa