Jumanne, 17 Machi 2020

Kampuni ya Samsung Yazindua Simu Mpya ya Galaxy A11

Kampuni ya Samsung imeingiza toleo jipya la simu ya bei rahisi ya Samsung Galaxy A11, simu hii ni toleo kama toleo la muendelezo kwa simu mpya ya Samsung Galaxy A10s ambayo ni ilizinduliwa rasmi mwaka jana 2019. Galaxy A11 inakuja na kioo cha inch 6.4 kilicho tengenezwa kwa teknolojia ya TFT ambacho pia kinakuja na […] More

Soma Zaidi : Kampuni ya Samsung Yazindua Simu Mpya ya Galaxy A11