Kampuni ya Apple imatangaza hivi leo kusitisha mkusanyiko wa watu kwenye mkutano wake wa WWDC 2020 na badala yake mkutano huo wa utafanyika kupitia mtandaoni. Kwa mujibu wa tovuti ya Apple, mkutano huo utafanyika mtandaoni kutokana na virusi vya corona ambavyo vina endelea kusambaa nchi mbalimbali. Mkutano wa WWDC ni mkutano muhimu kwa watumiaji na […] More
Soma Zaidi : Apple Kufanya Mkutano wa WWDC 2020 Kupitia Mtandao