Jumamosi, 14 Machi 2020

Bill Gates Atangaza Kujitoa Kwenye Bodi ya Uongozi ya Microsoft

Mwanzilishi mwenza wa kampuni ya Microsoft Bill Gates, hivi karibuni amatangaza kujitoa rasmi kwenye bodi ya uongozi wa kampuni hiyo. Bill Gates ambaye alianzisha kampuni ya Microsoft kama mwanzilishi mwenza, hapo siku ya jana tarehe 13 ametangaza hayo kupitia kwenye tovuti ya habari ya Microsoft. Bill Gates alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo hadi mwaka […] More

Soma Zaidi : Bill Gates Atangaza Kujitoa Kwenye Bodi ya Uongozi ya Microsoft