Kampuni ya Nokia hivi leo imetangaza simu mpya ya bei rahisi ya Nokia C2 (2020), simu hii inakuja ikiwa ni simu inayotumia mfumo wa Android 9.0 Pie (Go edition), mfumo ambao ni maalum kwaajili ya simu zenye RAM chini ya GB 1. Simu hii mpya ya Nokia C2 (2020), inakuja na kioo chenye ukubwa wa […] More
Soma Zaidi : Kampuni ya Nokia Yazindua Simu Mpya ya Nokia C2 (2020)