Kampuni ya kutoa huduma za simu ya Safaricom ya nchini Kenya, hivi karibuni imetangaza kupunguza viwango vya kutuma pesa kwa wateja wake kutokana na ugonjwa wa corona. Kwa mujibu wa tovuti ya CitizenTV ya Kenya, punguzo hilo litasaidia watumiaji wa Safaricom kutuma pesa bure chini ya kiwango cha Ksh 1,000 ambayo ni sawa na takribani […] More
Soma Zaidi : Coronavirus : Safaricom Kupunguza Viwango vya Kutuma Fedha