Alhamisi, 9 Aprili 2020

Huawei Yazindua TV Yake ya Kwanza ya OLED (Vision X65)

Kama ilivyo kampuni ya Nokia, kampuni ya Huawei hivi karibuni imeingia kwenye biashara ya TV na hivi karibuni kampuni hiyo imezindua TV yake ya kwanza ya OLED.yenye Inch 65. Kwa mujibu wa Huawei, TV hiyo mpya inakuja na kioo cha kisasa cha OLED chenye uwezo wa refresh rate hadi 120Hz huku ikiwa inasaidiwa na teknolojia […] More

Soma Zaidi : Huawei Yazindua TV Yake ya Kwanza ya OLED (Vision X65)