Jumanne, 7 Aprili 2020

Jiandae na Simu Mpya Zenye Kamera za Megapixel 192

Karibia mwaka mmoja uliopita, hapa hapa Tanzania tech tuliongelea kuhusu ujio wa simu zenye kamera za hadi megapixel 100. Hadi sasa zipo simu chache zenye uwezo wa kamera za Megapixel zaidi ya 100, baadhi ya simu hizo zikiwa kama vile simu mpya ya Xiaomi Mi Max Alipha na Samsung Galaxy S20 Ultra ambayo imezinduliwa hivi […] More

Soma Zaidi : Jiandae na Simu Mpya Zenye Kamera za Megapixel 192