Ijumaa, 29 Januari 2021

Simu za Samsung Zitakazopata Android 11 na One UI 3.0

Simu za Samsung Zitakazopata Android 11 na One UI 3.0

Kampuni ya Samsung imeboresha zaidi jinsi inavyotoa matoleo yake mapya ya Android huku ikiongeza list ya simu nyingi zaidi ambazo zinategemewa kupata mfumo mpya wa Android 11. Kama kwa sasa simu yako ya Samsung inatumia mfumo mpya wa Android 10 pamoja na One UI 2.5 na simu yako ni ya mwaka 2020 basi pengine matumaini […]

Soma Zaidi : Simu za Samsung Zitakazopata Android 11 na One UI 3.0