Hivi karibuni WhatsApp ilitangaza kubadilisha vigezo na masharti ya utumiaji wa programu yake, ikiwa pamoja na sera mpya za faragha ambazo zilikuwa zianze kutumika mwezi huu wa pili. Sheria hizo zilikuwa zinawataka watumiaji kukubaliana na sera mpya za faragha kuwa baadhi ya data za watumiaji zitatumwa kwa kampuni mama ya programu hiyo ambayo ni Facebook. […]
Soma Zaidi : Jinsi ya Kuhamisha Chats za WhatsApp Kwenda Telegram