Simu nyingi za sasa zinakuja na kioo ambacho ni full display huku sehemu za kuendeshea simu hiyo zikiwa kwenye kioo kwa chini. Sehemu hii kwenye simu za Android ndio huitwa Navigation bar. Mara nyingi sehemu hizi huwa na rangi moja na huwezi kubadilisha sehemu hii mpaka utakapo fungua app ambayo inakuja na uwezo wa kubadilisha […]
Soma Zaidi : Jinsi ya Kubadilisha Rangi ya Navigation Bar (Android)