WhatsApp imekuwa ikiongeza sehemu mpya kila baada ya muda maalum, hivi karibuni mabadiliko ya sera za faragha yameleta wasiwasi baina ya watumiaji wa programu hiyo na kusababisha baadhi ya watumiaji kuhama kwenye programu hiyo na kuanza kutumia programu ya Telegram. Pamoja na hayo WhatsApp imekuwa ikituma ujumbe wa maelekezo ya sera hizo mpya za faragha […]
Soma Zaidi : WhatsApp Kuja na Sehemu ya Kutuma Picha Zinazojifuta