Jumatatu, 12 Machi 2018

Hatimaye Mazungumzo Baina ya Serikali na Airtel Yaanza

Mazungumzo baina ya kampuni ya simu ya Airtel Tanzania pamoja na serikali Tanzania yameanza rasmi huku Mazungumzo hayo yakiwa yanalenga kufikia makubaliano yatakayokuwa na tija kwa pande zote mbili na kuimarisha sekta ya mawasiliano Tanzania. Hata hivyo mazungumzo hayo yanakuja baada ya kuibuka utata hapo Desemba mwaka jana kuhusu mmiliki halali wa Airtel Tanzania, Serikali ikisema […] More

The post Hatimaye Mazungumzo Baina ya Serikali na Airtel Yaanza appeared first on Tanzania Tech.