Hivi karibuni kampuni ya Google ambayo ndio watengenezaji na wamiliki wa mfumo wa Android walizindua mfumo mpya wa Android Go. Mfumo huo ni maalumu kwa simu zenye uwezo wa chini yaani simu zenye uwezo wa chini ya RAM ya GB 1. Pamoja na ufafanuzi huo bado kumekuwa na maswali mengi sana kuhusu mfumo huo mpya. […] More
The post Tofauti Kati ya Mfumo wa Android Go na Mfumo wa Android appeared first on Tanzania Tech.