Mark Zuckerberg amekuwa akijiandaa kwa jaribio lake kubwa huku Mkurugenzi mkuu huyo wa Facebook – akikabiliwa na maswali kutoka kwa mabaraza yote mawili ya congress. Baadhi wanaonelea vikao hivi viwili kama zaidi ya mchezo wa kisiasa wa kuigiza , kama ni fursa ya wanasiasa kuonekana kwente Ttelevisheni wakimkosoa kwa ukali mtu tajiri na mwenye mamlaka. […] More
The post Mark Zuckerberg Kutoa Ushahidi kwa Mabaraza ya Congress Leo appeared first on Tanzania Tech.