Jumanne, 10 Aprili 2018

Mark Zuckerberg Kutoa Ushahidi kwa Mabaraza ya Congress Leo

Facebook CEO Mark Zuckerberg Meets With Members Of Congress On Capitol Hill

Mark Zuckerberg amekuwa akijiandaa kwa jaribio lake kubwa huku Mkurugenzi mkuu huyo wa Facebook – akikabiliwa na maswali kutoka kwa mabaraza yote mawili ya congress. Baadhi wanaonelea vikao hivi viwili kama zaidi ya mchezo wa kisiasa wa kuigiza , kama ni fursa ya wanasiasa kuonekana kwente Ttelevisheni wakimkosoa kwa ukali mtu tajiri na mwenye mamlaka. […] More

The post Mark Zuckerberg Kutoa Ushahidi kwa Mabaraza ya Congress Leo appeared first on Tanzania Tech.