Jumatano, 2 Mei 2018

Mradi wa Mabasi ya Mwendokasi Wapata Muekezaji Mpya

Mwendokasi

Habari mpya kupitia tovuti ya Swahili Times zinasema, Hatimaye Serikali imempata mwendeshaji wa pili wa mradi wa usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam (DART), baada ya mwendeshaji wa kwanza wa mradi huo, Kampuni ya Uda-Rapid Transit (Uda-RT), kuonekana kusuasua. Kwa mujibu wa tovuti ya Swahili times, Katika siku za karibuni, Uda-RT imekuwa katika […] More

The post Mradi wa Mabasi ya Mwendokasi Wapata Muekezaji Mpya appeared first on Tanzania Tech.