Baada ya tetesi na kuvuja kwa picha mbalimbali za simu mpya za Samsung Galaxy A6 pamoja na Galaxy A6 Plus (2018), Hatimaye kampuni ya Samsung imetangaza kuzindua rasmi simu hizo siku ya leo. Mbali na muonekano wake unaofanana na Galaxy S9, simu hizi zinakuja na maboresho mengi sana ikiwa pamoja na teknolojia ya sauti ya Dolby […] More
The post Samsung Yazindua Simu Mpya ya Samsung Galaxy A6 (2018) appeared first on Tanzania Tech.