Mkutano wa Facebook F8, ni mkutano ambao unafanyika kila mwaka kuanzia tarehe 1 ya mwezi May hadi tarehe 2 ya mwezi huo huo, hapo ndipo wabunifu wote wa programu mbalimbali ujumuika pamoja na kujua ni nini kitakucho badilika kwenye programu zote zinazomilikiwa na Facebook yaani WhatsApp, Facebook pamoja na Instagram. Mbali na wabunifu kujua nini […] More
The post Mtandao wa Facebook Kuja na Huduma ya Kutafuta Mpenzi appeared first on Tanzania Tech.