Bado tupo kwenye mkutano wa F8 (2018) ulio anza kufanyika rasmi hapo siku ya jana, baada ya kuona kuhusu facebook kuja na sehemu mpya kukusaidia kupata mpenzi, sasa twende tukaangalie upande wa WhatsApp. Programu ya WhatsApp inatarajiwa kufanyiwa maboresho kadhaa na moja kati ya maboresho hayo ni uwezo wa kikundi cha watu kuweza kupiga simu […] More
The post WhatsApp Kuja na Group Video Call Pamoja na Stickers appeared first on Tanzania Tech.